JINSI NILIVYOKINGA MALI YANGU KUTOKANA NA ADUI, WEZI WALIKUWA WAMEZOEA KUNIVAMIA KILA MARA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hakuna mtu ambaye hupenda mali yake iweze kupotea kwa njia tatanishi ama iweze kuharibiwa  na wahuni kwa wakati wowote ule. Mara kwa mara wezi walikuwa na mazoea ya kuruka kwenye  boma langu na kila mara walipofanya vile waliharibu vitu kadhaa pale nje ya nyumba yangu na  hata mara nyingine waliiba. Hali ili ilikuwa imenipa msongo wa mawazo kwani siku moja  walikuja nyumbani kwangu na kunitishia maisha yangu kwani waliniambi kwamba  wangenimaliza kwa kunikatakata vipande vidogo vidogo kwa kutumia panga. Niliwaarifu polisi . walisema kuwa wangefanya uchinguzi na kubaini magenge yale yaliyowakosesha wenyeji  usingizi. Licha ya kuripoti kisa hicho kwa polisi mambo bado yalikuwa hayajabadilika kwani  waliendelea kuja nyumbani kwangu huku mara hii wakiseam kwamba walikuwa wametumwa na  mwanabishara fulani ambaye hakutaka upinzani kwenye swala zima la biashara. 

Mambo yalikuwa yakenda mrama na sikujua ningetorokea wapi kwani kila mtu alinifahamu  katika mtaa ule kwa ajili ya ueledi wangu wa kufanya biashara mbalimbali. Nilifahamu fika  kwamba wapinzani wangu walikuwa na kinyongo ni vipi nilikuwa najiimarisha kimaisha na  kibiashara licha ya wao kuwa na uzoefu kwenye kazi ile. Niliwaza nisjue ni vipi ningefanya  kuwasitisha kwani hata mke wangu alikuwa amehofia maisha yake kwani kila wakati walipokuja  

nyumbani walikuwa wenye ugomvi na kutucharaza huku wakiangalisha bunduki kama waliotaka  kutupiga risasi. Nilipokuwa nikiwaza jinsi ningetafuta suluhisho kamili, nilisikia kwenye redio  kuhusu madktari tajika wa Kiwanga ambao wangeniwezesha kumaliza kabisa shida zangu. Nilikuwa tayari na kalamu pale na hapo nikaandika nambari yao. Siku iliyofuatia niliwapigia 

simu na wakanitengea muda ambao ningewatembealea ili kumaliza shida iliyokuwa inanikumba  kwa wakati ule. 

Baada ya wiki moja hivi nilipata fursa ya kuwatembelea afisini kwao pale mjini Kericho. Daktari  Kiwanga aliweza kutabiri shida yangu kwa mpigo hata kabla yangu kumweleza yaliyokuwa  yakinikumba na hilo likanipa motisha kwamba ningepata suluhu pale bila ya kupoteza muda. Alinihudumia na kuniruhusu nikarejea nyumbani. Alikuwa amenihakikishia kwamba hakuna  hata siku moja ambapo wale wahuni wangejaribu tena kunitishia maisha yangu. Baada ya siku  tatu hivi mimi pamoja na mke wangu na watoto tulilala singizi wa pono kwani hakuna lolote  wala yeyote aliyetusumbua. Hiii ilikuwa ishara kwamba daktari Kiwanga alikuwa ni mtu  mwaminifu na wa kutegemewa katika swala zima la miti shamba. Ama kwa hakika niliendeleza  shughuli zangu pasipo na usumbufu wowote. Hakuna yeyote aliyeonekana kunitishia maisha  yangu kutokana na ueledi wangu kwenye biashara. Ama kwa hakika daktari Kiwanga alikuwa  amenikinga na adui zangu amabo hawakunitakia mema kwa wakati wowte ule. 

Marafiki wangu waliniuliza ni vipi nilpata suluhisho na bila ya kupoteza muda niliwaelekeza  kwa daktari Kiwanga. Kila alyetoka kwa daktari aliweka yote bayana kwani alikuwa ni mtu  mwenye uwezo mkubwa wa kutumia ujuzi wa miti shamba kushughulikia shida mbalimbali za  watu. Dakatri Kiwanga ana uwezo wa kutibu magonjwa kama vile kifua kikuu. Ana uwezo wa  kutibu magonjwa kama vile kisonono, kaswende na magojwa mengine ya zinaa kwa muda wa  siku tatu pekee. Anauwezo wa kusuluhisha mizozo ya kindoa baina ya waliooana na kumaliza  vurugu za ndoa. 


Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com 

ama kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com 

ama waweza kuwasiliana nao kupitia nambari ya  simu +254 769404965.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad