AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa mkubwa wa muziki barani Afrika anayetokea nchini Uganda Joseph Mayanja alimaarufu Jose Chameleone mwenye umri wa miaka 42 ameelezwa kulazwa hospitalini akisumbuliwa na tatizo la Ini na Kongosho.
Taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari nchini Uganda zinaeleza kuwa Chameleone amelazwa kwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda kidogo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK