Joyce Kiria afunguka kufuatia kusambaa kwa video chafu ya kina Mama J

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Joyce Kiria afunguka kufuatia kusambaa kwa video chafu ya kina Mama J

"Hii video imenisikitisha sana….. kwa alieiona anaelewa video nayozungumzia hapa…

Huyu dada anasema kwenye hii video kwamba kama video zake zitavuja and atakufa… sasa picha za dyadya ndo kama ivo video zake zimeshavuja, sa itakuwajeeee. 

Kilichonisikitisha mimi ni kwamba dyadya anatoa ushirikiano kwenye video anazochukuliwa na huyu bwanaake kwa asilimia zoteeeee OMG. 

Ivi wanawake Wenzangu huwa mnapata wapi ujasiri wa kuchukuliwa video za ngono?  uuuuuuwi 

Yaani mimi mwanaume akithubutu tuu kunipigia video call ya kawaida tuu hapo sijapokea simu aombe picha chafu wanazoombaga, yani video call sipokei na kinachofuata ni kofuli kubwaaaa, anakula blokuuuuuu. 

Sasa sielewi nyie wenzangu inakuwaje eti mwanaume anachukua simu anarekodi mauchafu yenu na wewe mwanamke upo unatoa ushirikiano tena unakenuakenua  kabisa kwenye kamera alafu unajifanya eti picha zikivuja utakufa fyuuuuuu. 

KIUKWELI HAPA WA KULAUMIWA MIMI NAONA NI MWANAMKE AMBAE UNAKUBALI UJINGA HUU WA KUCHUKULIWA MAPICHA MACHAFU, UNAMWAMINIJE BINADAMU AKAE NA PICHA ZAKO ZA UTUPU???? "  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad