AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamati ya Maadili imetafsiri kitendo cha Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima kukataa vitu alivyoandaliwa kama ujeuri
Gwajima alikataa kutumia kiti na kipaza sauti siku ya kwanza na siku ya nyingine alikataa kukaa chini kama alivyoelekezwa
Aidha alikataa kujibu maswali kadiri yalivyoulizwa bali aling'ang'ania kuwa alizungumza kama kiongozi wa dini
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK