Kamati Yapendekeza Jerry Slaa AVULIWE Ujumbe wa Bunge la Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa amepewa adhabu ya kuvuliwa Ujumbe wa Bunge la Afrika(PAP) na kutohudhuria mikutano miwili ya Bunge

Adhabu hiyo imekuja baada ya Kamati ya Maadili ya Bunge kujiridhisha kuwa alitoa kauli ya uongo kuhusu Mishahara ya Wabunge kutokatwa kodi

Aidha, wakati wa kusikiliza shauri lake, Jerry alionekana kutojibu maswali kama ilivyopaswa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad