Kashfa ya unyanyasaji wa kijinsia wamuondoa ofisini Gavana wa Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Gavana wa Jiji la New York, Andrew Cuomo, ametangaza kujiuzulu ndani ya siku 14 baada ya Uchunguzi kubaini aliwanyanyasa kijinsia Wanawake kadhaa
 
Wanademocrat wenzake akiwemo Rais Joe Biden wamekuwa wakishinikiza Cuomo aachie Madaraka. Gavana Kathy Hachul atachukua nafasi yake na kuwa Mwanamke wa kwanza kuiongoza #NewYork


Cuomo ni Gavana wa tatu wa Jiji hilo kuondoka Madarakani kutokana na skendo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad