Kesi ya IDRIS Sultan ya Makosa ya Kimtandao Yafutwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imeifuta kesi ya upandishaji wa maudhui mitandaoni bila kibali, iliyokuwa ikiwakabili muigizaji Idris Rashid Sultan, pamoja na meneja wake Docta Ibrahim Ulimwengu na mchekeshaji Isihaka Hassan Mwinyimvua (Wong Lee).

Kesi hiyo iliyosikilizwa mbele ya hakimu Lubologa imefutwa kufuatia uamuzi wa mkurugenzi wa mashitaka (DPP) wa kutoendelea na kesi hiyo uliotolewa kwenye barua iliyotumwa mahakamani Kisutu leo tarehe 17 Agosti, 2021.

Tarehe 18, Machi mwaka 2020, Idris Sultan pamoja na wenzake wawili walifikishwa mbele ya mahakama ya Kisutu kwa kosa la kupandisha maudhui bila kibali kwenye mtandao wa kijamii wa YouTube.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad