Kondakta wa Dalala Afunguka Meneno Aliyoyasikia Kutoka Kwa Hamza Aliyekuwa Askari Kwa Mjegeje

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Video zote ambazo wengi wetu tumezitazama za Hamza kabla ya kufariki hazina sauti ya kile alichokua anakiongea, kila mmoja anatamani kufahamu alikua anaongea nini, alikua anasema nini.... sasa @AyoTV_ japo kwa ufupi imelitafuta gari aina ya daladala iliyokua karibu yake na kuipata ili Kondakta atuambie Hamza alisema nini sababu alisimama kwa muda pembeni ya daladala hii na kuongea.

"Nilimsikia akisema Watu wanamdharau Allah, maneno mengine sikuyaelewa alikuwa kama anaongea kama Kisomali vile, Abiria walikuwa wanalazimisha nifungue mlango, Jamaa alipopita tukatoa gari tukatembea" ——— Kondakta.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad