Kumekucha..Huyu Hapa Askari wa Barabarani wa Kundi la Taleban Huku Afghanistan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Askari wa usalama barabarani wa kundi la Taliban, akiongoza magari katika mji wa Kandahar uliopo kusini mwa Afghanistan. Tangu jana wanamgambo wa Taliban wamerejea tena nchini Afghanistan na kushika madaraka baada ya kufurushwa na majeshi ya Marekani mwaka 2001.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad