Kumekucha..Wakurugenzi Watakao Shindwa Kwenda na Kasi ya Serikali Kukuona cha Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa OR-TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema watapendekeza kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu Wakurugenzi ambao hawawezi kwenda na kasi ya Serikali yake

Asema watashauri Wakurugenzi watakaoshindwa kujenga Madarasa 500 ndani ya wiki mbili na Vituo vya #Afya zaidi ya 100 ndani ya mwezi mmoja wakae pembeni

Ameongeza kuwa, kazi yao sio kukaa ofisini bali kushirikiana na wananchi kuleta Maendeleo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad