Lemutuz "Kitendo Cha Tajiri na CEO Wake Kumu Unfollow Haji Manara Kimenikera Sana Sikutegemea Kama Wana Roho nzito Kiasi Hicho"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ameandika Lemutuz Kupitia ukurasa Wake:

" ZE AKILI ZANGU ZA USIKU LIVE! .....Nimeona mapovu mengi sana kwa Wale ambao hawakunielewa NINASEMA HIVI kitendo cha kum unfollow Haji kwa Tajiri na CEO WAKE katika wakati huu wa mtafaruku ni KITENDO KIKUBWA SANA KINACHO ONYESHA CHUKI NA HASIRA kwa mfanyakazi mdogo sana katika System ya SUPER BILIONEAZ....KUMFOLLOW AU KUTOKUMFOLLOW ANYONE NI HIARI lakini MUNGU anasema AKIKUPA KIKUBWA ANATEGEMEA MAKUBWA KUTOKA KWAKO ukishafikia level ya Super Bilioneaz Masikini wote TUNAKUANGALIA KWA MAKINI TABIA ZAKO KAMA ZINAFANANA NA SISI MASIKINI AU UKIWA TAJIRI UNAKUWA NA TABIA TOFAUTI .....Waajiri walioniajiri nilipowaomba kuacha kazi WANGEKUWA NA ROHO MASIKINI WANGENIGEUZIA KIBAO NA KUNIFUKUZA AU KUNIAMBIA NIONDOKE MARA MOJA WASINGENIFANYIA MEMA YOTE WALIYONIFANYIA .....tatizo langu na la Haji ni lile lile Wote tumeomba kuacha kazi ila APPROACH TOFAUTI lakini bado SUPER BILIONEAZ MUAJIRI ANATAKIWA KUONYESHA ANA MOYO MKUBWA ILI MIMI MASIKINI NIJIFUNZE KUWA TOFAUTI .....I mean nimeacha kazi kwako na Infact umepigana mpaka UMEONYESHA KUNIFUKUZA na BADO TENA UNAENDA KUONYESHA CHUKI ZAKO KWA KUNI UNFOLLOW? .....PLEASE .....KITENDO CHA TAJIRI KUM UNFOLLOW HAJI KINAZUNGUMZA MENGI SANA SANA.....NA BINAFSI KIMENIKERA SANA SANA KWAMBA NIMEANZA KUWAOGOPA SANA TAJIRI NA CEO WAKE.....Nilikuwa mstari wa Mbele sana kupigania ishu ya Tajiri kutekwa ndio maana siku alipoachiwa CEO alinifahamisha Dakika 10 za Tajiri kuachiwa ....sikutegemea kama wana Roho nzito kiasi hiki ....Yes Haji ana Makosa yake na wao wana makosa pia LAKINI SOMEONE HAD TO BE BIGGER HERE NA NI TAJIRI NA CEO WAKE ili sisi Masikini TUJIFUNZE lakini na yeye anaonyesha Tabia zile zile za sisi Masikini nani atatusaidia hili Taifa na kufikiri tofauti? Masikini na Matajiri wote tunafikiri sawa sawa kweli? .....NAIPENDA SANA SIMBA ila SIJAFURAHISHWA NA HUU UPUUUZI NA KUANZIA LEO NITARUDI NYUMA KIDOGO na ninajua kuna Kiongozi mmoja yupo nyuma ya CEO NA KUITUMIA SIMBA KUGOMBEA URAIS sasa ITAKUWAJE MAANA SOME OF US HATUTASAHAU NA TUTASEMA! hahahahhaha au niachieni my AMERICAN SPIRIT I AM DISAPPOINTED SANA!" - LE MUTUZ
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad