AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MKUU wa zamani wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya(34), amekiri mahakamani kwamba alikuwa akimiliki silaha ya moto ya Glock 17.
Ole Sabaya, alithibitisha mahakamani huko, kumiliki silaha hiyo, wakati akijitetea na kutoa ushahi wake, mbele ya Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, Odira Amworo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK