Lengai Ole Sabaya Akiri Kumiliki Silaha Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MKUU wa zamani wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya(34), amekiri mahakamani kwamba alikuwa akimiliki silaha ya moto ya Glock 17.

Ole Sabaya, alithibitisha mahakamani huko, kumiliki silaha hiyo, wakati akijitetea na kutoa ushahi wake, mbele ya Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, Odira Amworo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad