Licha ya Manara Kukacha Kipindi Chao, Gerald Hando na Maulid Kitenge Wampongeza Haji Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Licha ya kwamba @hajismanara hajaja kwenye kipindi cha Efm kama ilivyokuwa imepangwa, Watangazaji wa Kipindi hicho cha Asubuhi @maulidkitenge9 na @geraldhando wamempongeza sana Haji Manara kwa kazi aliyoifanya, kwamba jana alifanya kazi nzuri na kubwa

Kwa ujumla wanasema Yanga wamepatia sana kumsajili Haji Manara kwa mpira wa leo sio Hoya Hoya bali ni biashara, Manara ameamsha hari mpaka jezi za Yanga zimeuzwa zote na kujaza ule uwanja
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad