Luis Miquisson Aibukia Yangu, Kuwafunga Goli Simba Ngao ya Jamiii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


#NdotoZaUsiku za Shafii Dauda

Ndotoni nilipata kusafiri mpaka Cairo, Misri kushuhudia utambulisho wa Luis Miquisson na Percy Tau kwenye klabu ya Al Ahly

Baada ya utambulisho niliwaona Senzo ambaye alihudhuria kama mualikwa akiwa anazungumza na Pitso Mosimane

Pitso anamwambia Senzo kuwa nafasi za Wachezaji wa kigeni zimejaa hivyo mchukue Miquisson nenda nae Yanga kwa mkopo

Senzo anakubali na kuondoka na Miquisson mpaka Jangwani kisha anatambulishwa klabuni

Miquisson atafunga bao kwenye ngao ya jamii dhidi ya Simba, Mashabiki wa Simba wakaanza kumkimbiza.

Ghafla ndoto yangu inaishia hapo😀
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad