AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Bongo Flava na muigizaji wa tamthilia nchini Lulu Diva amekanusha kuwa kwenye uhusiano na mfanyabiashara maarufu nchini Fred Vunjabei hii ni baada ya picha waliopiga pamoja siku kadhaa nyuma na Lulu akiipost kwa caption zenye mahaba ndani yake.
Akiliiweka sawa kwenye Empire ya E-FM, Lulu Diva amedai walikutana na Vunja Bei kwenye ndege wakiwa safarini hivyo na kupiga picha tu, kilichokuwa kikiendelea kati yao si kama watu wanavyotafsiri.
Lulu alipost picha hiyo wakiwa wawili na tajiri huyo akiisindikiza kwa caption iliyosomeka👇
Bora ukaacha kufatilia kama babe wako anacheat, fatilia kama ana furaha @fred_vunjabei ”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK