Madaktari Waonya “ Mchezo wa Crate Challenge”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baadhi ya madaktari wameonya wale wanaoshiriki wa “Milk Crate Challenge” kwa sababu ya usalama wa kiafya kuwa mdogo kutokana na urefu wa kuelekea juu wa kreti hizo.

Madaktari wanasema kuwa upo uwezekano mkubwa wa washiriki kupata madhara makubwa pindi ambapo lengo litashindwa kukamilika kwa usahihi ikiwa hata kuvunjika shingo au mgongo.

Challenge hiyo ya kupanda juu ya kreti imeibuka siku za hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii huku kukiwa na idadi kubwa zaidi inayoonyesha washiriki wakipata majeraha mabaya.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad