Maelfu ya watu wachomwa maji ya chumvi badala ya chanjo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 
Maelfu ya watu wachomwa maji ya chumvi badala ya chanjo Ujerumani
Afisa mmoja anayefanya kazi katika kituo cha chanjo cha Schortens cha mkoa wa Friesland wa Lower Saxony, Ujerumani, aliitumia mchanganyiko wa maji ya chumvi badala ya chanjo ya corona (Kovid-19) kwa maelfu ya watu.

Gavana wa Friesland Sven Ambrosy alisema kuwa mnamo Machi na Aprili, ingawa hakuwa na hakika idadi kamili, takriban watu 9,650 walipewa maji ya chumvi badala ya chanjo za Biontech, Moderna na Astrazeneca.

Ilipogundulika kuwa afisa wa huduma ya afya aliingiza mchanganyiko wa maji ya chumvi badala ya chanjo ya Kovid-19, wale waliokuwa wamekumbwa na hali hiyo kati ya Machi 5 na Aprili 21 waliitwa kuchomwa chanjo tena.

Ilibainika kuwa ofisi ya mwendesha mashtaka inaendelea kuchunguza suala hilo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad