google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Maestro: Ukimya wa Babra ndio uliomuondoa Manara | UDAKU SPECIAL

Maestro: Ukimya wa Babra ndio uliomuondoa Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Mtangazaji huyo na mchambuzi wa soka kutoka Efm Maestro Ibrahim ameongeza kuwa Haji Manara alifanya kosa kuongea mambo ya Simba hadharani huenda hakujua madhara yake shida inakuja CEO @bvrbvra alitumia busara akakaa kimya bila kumjibu kitu

Haji Manara ameifanyia Simba mambo makubwa sana lakini kwa hili alilofanya ilitakiwa mmoja aondoke, je kwa muliozisikia sauti ungemuadhibu nani kama wewe ungekuwa msuluhishaji Haji Manara au @bvrbvra ambaye hakuongea chochote?

Kwa haya maamuzi nafikiri Simba wameonyesha ukomavu kwenye uongozi, simshauri Haji Manara arudi Simba kinachotakiwa afanye mambo yake.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad