Mange Kimambi Asherehekea Mtandaoni Baada ya Mtoto Wake Kupata A zote High School

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ameandika Haya katika Ukurasa wake Instagram:

Nimeamka nna rahaaaaa…Jamani mwenzenu binti yangu anaanza degree yake ya sheria mwezi ujao at Durham University in UK. Kapata A zooooote A-level, yani kibongo bongo ni division 1 ya ukweli 🙌🙌🙌. Najihisi kama nimemaliza kulea sina wasiwasi tena. Hawa wakiume acha wawatie mimba mabinti zenu, Im kidding 

Ambao bado mnalea watoto wa kike, Mungu awasaidie kama alivyonisaidia mimi. Ila kina Kenzo wakiwapitia wabinti zenu mi simo 

Hapa bank account yangu inakaribia kufika zero balance maana kila nikikumbuka Bhoke wangu anaingia chuo kikuu namtumia vipaundi. Na ma aunty zake kina @the_ironlady1976 wamenitumia $$ nimtumie mtoto wao. Mwanangu Cassandrah hela zako from kina Aunty zinakujaaaaa. Umejua kunitoa kimasomaso mamako. Acha nikate viuno tu.  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad