Maoni ya Shaffih Dauda, Kauli ya Rais Samia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




"Wako wasichana tuko nao maofisini wananyoa viduku lakini wamevaaje? Mwonekano wako ukoje? Sio unavaa mlegezo kinjunga unadundika kama James Tupa Tupa ukiulizwa kwanini eti unacheza mpira wa miguu .

"Hilo ndio jambo ambalo jamii yote ya wapenda mpira tunapingana nayo. Hiki ndio alivyokuwa anakizungumzia mama Samia Suluhu Hassan (Rais). Na watu wameshindwa kukielewa. Kwani huwezi kucheza mpira na mwonekano wako ukabaki wa kike?

"Amri Kihemba alisema nyumbani kwake ana mtoto wa kike alisema kwa hali anavyoiona hawezi kumruhusu mtoto wake wa kike acheze mpira kwa stahili ile" @shaffihdauda_ Mchambuzi

#LiveOnClouds360
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad