Mchezaji wa kulipwa mpira wa Kikapu Curry Steph aitembelea hifadhi Serengeti, Hashim Thabeet Wetu Nini Kilim

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Wakuu Mcheza Kikapu Steph Curry anaekipiga GSW Yuko Tanzania Yeye na Mkewake.

Curry yupo na familia yake kwenye ardhi ya Tanzania katika hifadhi ya Serengeti.

Curry amekuja mapumzikoni pamoja na kusheherekea miaka 10 ya ndoa yake na mpenzi wake aitwae Ayesha.

Nasikitika Kwa
Hashim Thabeet Kwa Sasa Alipo, Wakati Curry na Hashim wanatoka College Kwenye NBA, Hashim Alikuwa Namba 2 Kwa ubora kumzidi Curry, Sjui Ni Nini Kilimkuta Hashim Mpaka Akawa Hivi.​

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad