AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Wilaya Bukoba imemtia hatiani Mchungaji Merchades Buberwa mkazi wa Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera kwa makosa matatu kati ya nane yaliyokuwa yakiwakabili yeye pamoja na mke wake yakiwemo makosa ya Sheria ya mtoto na kushindwa kutimiza wajibu wao kama wazazi kwa kutowapeleka watoto shule.
Mchungaji huyo amehukumiwa kifungo cha miezi sita faini ya shilingi milioni moja kwa kila kosa huku mke wake akipewa kifungo cha nje na masharti ya kutotenda kosa lolote ndani ya kipindi cha miezi sita.
Akiongea nje ya Mahakama Wakili wa Serikali ameeleza kwa undani juu ya kesi hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK