Meneja Afunguka "Nikikupa Nandy Humuwezi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Meneja wa msanii Nandy Moko Biashara amesema kuna changamoto kubwa na ugumu kumsimamia msanii wa kike kwa sababu wana mambo mengi na amemtolea mfano Nandy kwa kusema akimpa mtu mwingine hawatawezana.

"Ugumu ni mkubwa sana, Nandy ni mmoja wa wasanii ambao nikikupa sasa hivi labda saa 1:20 basi saa 1:29 utanirudishia utasema humuwezi, kwa sababu ni mtoto wa kike 'make up' anatumia saa mbili, kuamka lazima mpigishane kelele lakini akiamka anakuwa active" 

Meneja Moko Biashara ameendelea kusema "Kitu kingine ni kwamba changamoto zake tayari nishazielewa itabidi tupambane tu, tunagombana, kuzimiana simu, wiki nzima hatusemeshani minuno tu lakini yote ni kujenga". 

Aidha Moko Biashara amesema kwa sasa ana muda wa miaka mitatu tangu aanze kufanya kazi na Nandy The African Princess

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad