AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mke wa Mwanamziki Mahili Hapa Tanzania (@officialalikiba ) Ambaye Sasa Anaishi Nchini Kenya Bi Amina Amefunguka kuwa Hawacha Achana na Baba Wa Mtoto wake.
"Watu Wengi Wanaongea Mengi kuhusu Ndoa Yetu Ila Hawajui tuuu Mimi Nipo Kenya Kikazi tuuu Sio Kuwa Kwangu Kenya na Yeye kuwa Tanzania Ndio Muanzishe Habari Zisozo na Ukweli Wowote Nampenda Sana Baba Wa Watoto Wangu na Tupo pamoja Nae Milele"-Amefunguka Bi Amina
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK