Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amethibitisha kutokea kwa mauaji ya askari wawili jirani na ubalozi wa Ufaransa



BREAKINGNEWS Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amethibitisha kutokea kwa mauaji ya askari wawili jirani na ubalozi wa Ufaransa jijini Dar es Salam yaliyofanyika na mtu mmoja ambaye inasemekana ni Msomali ambaye pia amefariki baada ya kutekeleza mauaji hayo.

Taarifa zaidi kukujia..
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad