Mlipuko watokea uwanja wa ndege wa Kabul

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kumetokea mlipuko nje ya uwanja wa ndege wa mjini Kabul, Pentagon imethibitisha.
Bado haijafahamika ikiwa kumekuwa na majeruhi.

Taarifa zaidi kuhusu mlipuko huo katika uwanja wa ndege bado hazijafahamika. Kumekuwa na ripoti za kusikika kwa milio ya risasi.

Mlipuko umetokea katika lango la kuingilia la abbey ambako vikosi vya Uingereza vimekuwa katika eneo hilo siku za karibuni.

Ni moja kati ya milango mitatu iliyokuwa imefungwa baada ya kuwepo tahadhari ya tishio la kigaidi.

Afisa wa Marekani ameliambia Shirika la habari la Reuters kuwa mlipuko huo ulisababishwa na mtu aliyejitoa muhanga.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad