Mmiliki wa Mabasi ya Sumry Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mmiliki wa Mabasi ya Sumry Afariki Dunia

Mfanyabiashara mkubwa aliyekuwa mmiliki wa mabasi ya Sumry, Salum Humud Sumry, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09, 2021 jijini Dar es Salaam.

Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika na anatarajiwa kuzikwa leo jijini Dar es Salaam.

Enzi za uhai wake, Sumry aliyekuwa na makazi yake, Nkasi mkoani Rukwa alikuwa akifanya biashara ya usafirishaji wa abiria kupitia mabasi ya Sumry na baadaye, aliamua kuachana na biashara hiyo na kuwekeza katika kilimo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad