Msanii Ali Kiba Ashindwa Kukaa Number 1 Trending Huko YouTube Kisa Diamond Platnumz na Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii @officialalikiba ameshindwa kukaa no. 1 on trending kwa maudhui ya jumla huko YouTube baada tu ya @harmonize_tz kuingilia kati na Mang'dakawe remix.

Hii inakuwa mara ya pili kwa Alikiba kutofika No.1 on trending katika maudhui ya jumla ikiwa @diamondplatnumz yupo kwenye hiyo Namba. Wimbo wa kwanza ni SALUTE ambao uliishia namba 2 na @officialzuchu akaja kutibua mipango na Nyumba ndogo,wakati Diamond alikuwa na KAMATA,Raundi hii ni IYO vs JEALOUS.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad