Harmonize na H Baba Waibukia Kwenye Movie ya Uingereza... Yumo Pia Awilo Longomba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Bongo Flava @harmonize_tz amegeukia kwenye upande wa uigizaji,hii ni baada ya Production Houses tokea Uingereza inayoitwa Billy Jeremiah Brown Films (BJB FILMS) kutangaza uwepo wa msanii huyo kwenye movie inayotarajiwa kutoka hivi karibuni inayoitwa “A LIFE TO REGRET”

Mbali na Harmonize, wasanii wengine wenye majina maarufu Afrika Mashariki waliopewa shavu kwenye movie hiyo ni pamoja na Awilo Longomba pamoja na H.Baba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad