AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa kundi la Wanamgambo la Taliban Zabiullah Mujahid amesema Vyombo vyote vya habari Nchini humo viendelee kurusha matangazo kama kawaida lakini visirushe chochote kinachokwenda kinyume na Uislamu na pia wasirushe chochote kinachokwenda kinyume na matakwa ya Taifa hilo.
Vilevile Mujahid amesema hawatolipiza kisasi kwa Mtu yeyote, iwe ni Wanajeshi au wale wote waliofanya kazi na Majeshi ya kigeni “hatutosachi nyumba ya Mtu yeyote, hali kwenye Mji wa Kabul itarejea kwenye ukawaida wake hivi karibuni"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK