AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemo wa Mzee Mpili wa maarufu kama “Sisi tuna watu” umekula shavu kwenye jezi mpya za klabu ya Yanga zilizozinduliwa leo ambazo zitatumika msimu wa 2021/22.
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa kutoka Tanzania, Sheria Ngowi ametumia ubunifu wa mwonekano wa watu wengi kwenye jezi hizo ikimaanisha msemo wa Mzee Mpili uliopata umaarufu mkubwa bongo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK