Msemo wa Mpili Watumika Kwenye Jezi Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msemo wa Mzee Mpili wa maarufu kama “Sisi tuna watu” umekula shavu kwenye jezi mpya za klabu ya Yanga zilizozinduliwa leo ambazo zitatumika msimu wa 2021/22.




Mbunifu wa mavazi wa kimataifa kutoka Tanzania, Sheria Ngowi ametumia ubunifu wa mwonekano wa watu wengi kwenye jezi hizo ikimaanisha msemo wa Mzee Mpili uliopata umaarufu mkubwa bongo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad