Msigwa: “Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 barani Afrika ambazo zina gharama ndogo na nafuu katika mawasiliano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Kumekuwa na malalamiko ya vifurushi vimepanda, lakini niwaambie Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 barani Afrika ambazo zina gharama ndogo na nafuu katika mawasiliano. Licha ya changamoto za kupanda kwa gharama hizi, lakini bado gharama hizi ni nafuu. Kuna mfano wa nchi moja huko nje, gharama ya GB moja ni dola za kimarekani 15”

 



“Serikali imetoa shilingi bilioni 50 kuipa  @TTCLCorporation ili kupeleka huduma ya mawasiliano katika maeneo ambayo hayana mawasiliano hapa nchini”

“Serikali imewekeza Bilioni 600 katika mkongo wa Mawasiliano wa Taifa ili kutoa huduma na kuleta nafuu kwa watumiaji wa huduma za simu ikiwemo kupiga na data. Watoa huduma wote wa simu nchini wanahudumiwa na mkongo huu, na mkongo huu unasimamiwa na

@TTCLCorporation
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad