Mtangazaji Aachwa Baada ya Kulipa Mahari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






MTANGAZAJI wa chombo cha habari cha Citizen cha Kenya Trevor Ombija ameeleza masikitiko yake baada ya kuachwa na mpenzi wake mnamo Agosti 23 mwaka huu.

Trevor alikiri kuumizwa sana na kitendo cha mpenzi wake huyo kumbwaga baada ya yeye kumlipia mahari na alijaribu kila njia kuokoa penzi lao lakini ilishindikana.


Inaelezwa kuwa Trevor na mpenzi wake huyo walidumu kwenye mahusiano kwa miaka 10 na katika mwaka wa sita tangu waingie kwenye mahusiano, aliamua kuachana na ukapera na kulipa mahari lakini mpenzi wake aliondoka ghafla kwa madai ya kutaka kujitambua zaidi.

Trevor amesema, “Niliumizwa sana, nipo single na sitafuti mpenzi kwa sababu bado sinapona majeraha, usiingie kwenye mahusiano ukiwa bado na maumivu”.





-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad