Mvulana wa miaka 7 afariki baada ya kupigwa risasi na washambuliaji nchini Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mvulana mmoja wa miaka 7 alipoteza maisha kutokana na shambulizi la silaha huko Marekani.

Katika jimbo la Pennsylvania, watu wenye silaha waliwafyatulia risasi umati uliozunguka uwanja huo kutoka kwa gari baada ya mchezo wa mpira wa miguu wa shule ya upili.

Wakati watoto 3 walijeruhiwa kwa risasi, mmoja wa watoto aliyepigwa risasi shingoni alifariki katika hospitali alikopelekwa.

Wakati sababu ya shambulizi hilo bado haijafahamika, watu 3 walizuiliwa kuhusiana na tukio hilo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad