Mwakinyo "Siwezi Pigana na Mbeba Matofali, Babu Tale Nitamnunulia V8 Tatu Aache Dharau"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Kama wanaweza, bondia yeyote anayetaka kupigana na mimi Tanzania, wamtengeneze afike nyota nne, yani nijue bingwa anapigana na bingwa, sio bingwa anapigana na mbeba matofali, au bingwa anapigana na mbeba mizigo, hiyo ni kashfa, hizo ni dharau.

 “Yeye anajua umhimu wa branding ni nini, ndio maana kuna wakati akina @babutale Babu Tale hawamuingizi @diamondplatnumz  kwenye vita na wasanii wa chini yake sababu wanaona wanamshusha, kwa nini mimi ananichukulia poa? Sio sawa. I promise nitafika World Champion, na Babu Tale nitamnunulia V8 tatu na sitohitaji chochote kutoka kwake - Bondia Mwakinyo  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad