Mwana FA Afunguka Kuhusu Afya yake Usiku Huu na Jinsi Ajali ilivyotokea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Tulikua wawili mimi na Dereva wangu tulitoka Muheza tukapita Msoga Rais Mstaafu alikua amefiwa na Mtoto wa Kaka yake tukaenda mazikoni pale, tukawa tunatoka tunaelekea Dodoma hii sehemu inaitwa Kingolwira kuna malori mengi yanaelekea Dar kuna Mtu akawa ana overtake"

"Alikuja upande wetu na yuko spidi sana tunamuona kabisa hivi, spidi yake ilikua kubwa kusema kweli nafikiri kati ya 140 au 160 hivi na tunamuona kabisa anakuja na hatukuwa na namna yoyote ya kumkwepa, tunashukuru tu Mungu tumetoka salama mimi nina maumivu kidogo kifuani na mkono wa kushoto lakini napata huduma hapa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kama unavyoona Mh. Mkuu wa Mkoa na Mh. Mkuu wa Wilaya wapo hapa kuhakikisha kila kitu kinakua sawa" ——— Mbunge wa Muheza Tanga Mh. Hamis Mwinjuma @MwanaFA.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad