Mwana FA Amjibu Babu Tale "V8 Kaeni Nazo Leteni Mikanda Tupiganie"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BABU TALE ATULIE TU,KIDUKU NA MWAKINYO NI ARDHI NA MBINGU👇

Baada ya meneja wa Diamond Platnumz na Mbunge wa Morogoro kusini Mashariki, @babutale kumuomba mwanamuziki na mbunge pia wa Muheza Tanga, @mwanafa aongee na Hassan Mwakinyo kuhusu kukipiga na Twaha Kiduku huku V8 ya 2020 ikiwekwa kama kombe linaloshindaniwa,Mwana FA amemjibu Babu Tale.

Tunaelewa hawa ni watu wanaotoka sehemu mbili zinazo wakilishwa na mabondia bora nchini kwasasa yaani Morogoro kwa Babu Tale ni Twaha Kiduku na Tanga kwa Mwana FA ni Hassan Mwakinyo.

Tofauti ya hawa mabondia ni kuwa @hassan_mwakinyo_jr ni Super Welterweight mwenye nyota nne akiwa nafasi ya kwanza Afrika na namba 24 Duniani wakati @twaha_kiduku yeye ni Middleweight na namba zake bado hazijulikani.

Jibu la Mwana FA kwa Babu Tale ni kuwa ,si muda wa kuwekeana Magari ni muda wa mikanda na kama ni ishu ya mikanda hili pambano haliwezi tokea maana watu hawa wanapambana kwenye uzito tofauti👇

“Shoo Shoo kweli leo mmetisha sana, Sema V8 kaeni nayo kwanza,leteni mikanda tupiganie”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad