Mwanamuziki P Mawenge Amkataa Hamisa Mobetto "Hajui Kuimba Abaki Kwenye Mitindo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanmuziki wa Hip Hop P Mawenge ameweka wazi ukweli wake juu ya uwezo wa Hamisa Mobetto kwenye Muziki ikiwemo kazi yake mpya Ex Wangu .

Mawenge amefunguka kwa kusema Hamisa Mobetto atulie kwenye Mitindo kwenye Muziki bado sana na akisisitiza sio lazima wote tuwe wanamuziki

" Wimbo wake mbaya sijui Hata Producer Kafanyaje lazima tuwe wakweli Sio lazima wote tuwe wanamuziki yeye akae kwenye uanamitindo muziki hawezi ni very poor artist kupata viewers haimaanishi wewe mkali unaweza kupata kutokana umaarufu wako - Amesema P Mawenge .

Mawenge amemalizia kwa kusema akipigwa msasa akiwa bora atasema ila kwa sasa bado

Unakubaliana na P Mawenge ?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad