Mzee wa Upako Atema Cheche "Watawala Msianzishe Vita na Makanisa Kuingilia Uhuru wa Kuabudu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Watawala wasianzishe chokochoko ambazo zinaondoa utulivu, wasianzishe vita na makanisa, mara kuingilia Uhuru wa kuabudu mara utasikia watu wanakamatwa kanisani,hii sio sawa" Anthony Lusekelo

"Tuna shida ya kisiasa hapa Tanzania, vuguvugu la kisiasa limeanza, tuna shida ya Corona na Tozo, tusijitwishe mzigo mwingine. Uhusiano uliopo kati ya Serikali na taasisi za dini udumishwe udumishwe kwenye kasoro tututumie taratibu kusuluhisha" Anthony Lusekelo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad