Naibu Waziri aeleza Gereza lilivyoelemewa wafungwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Geofrey Pinda, amesema kuwa gereza la Mpanda mkoani Katavi, limeelemewa na wafungwa kwani uwezo wake ni kubeba wafungwa 100 tu lakini hadi sasa lina jumla ya wafungwa 400.

Naibu Waziri Pinda ameongeza kuwa kufuatia hali serikali imejipanga kujenga magereza mawili ili kupunguza changamoto hiyo, ambapo mpaka sasa tayari maeneo yamekwishatengwa kwa ajili ya ujenzi wa magereza hayo.

Gereza la Mpanda mkoani humo limejengwa mwaka 1947.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad