Operesheni Kibiti imerejea tena- IGP Sirro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mkuu wa Jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro amesema Operesheni Kibiti imerejea tena ili kuweza kukabiliana na Uhalifu kwenye maeneo hayo hususani Ugaidi, Usafirishaji Dawa za Kulevya pamoja usafirishaji wa Binadamu.

Ametoa kauli hiyo Jijini Dar es Salaam katika mkutano wake na Waandishi wa habari.

Amesema Operesheni hiyo itaanzia mkoa wa Pwani eneo la kibiti kuelekea Mikoa ya Kusini ikiwemo Lindi na Mtwara.

Kufuatia Operesheni hiyo ametoa rai kwa Wananchi kutoka Ushirikiano kwa Pale wanapoona jambo lisilo kawaida kwenye maeneo yao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad