Rais Samia Ahojiwa Kuhusu Mashtaka ya Mbowe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




RAIS wa Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.


Kwa mujibu wa BBC, katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC, Salim Kikeke, Rais Samia amesema Mashtaka dhidi ya Mbowe hayajachochewa kisiasa, ana imani sheria itachukua mkondo wake.

Wafuasi wa Mbowe wanadai kuwa mashtaka haya yamechochewa kisiasa. Aidha, katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha. Mahojiano hayo yatarushwa leo Jumatatu, kupitia Dira ya Dunia ya BBC.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad