RASMI: LIONEL MESSI KUONDOKA BARCELONA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Barcelona imethibitisha kuwa Mchezaji wao mahiri, Lionel Messi ataondoka Klabuni hapo kutokana na vikwazo vya kimfumo na kifedha (Sheria za Ligi ya Uhispania)

Klabu imesema yenyewe pamoja na Messi wamesikitishwa na hatua hiyo kwani awali pande zote mbili ziliridhia kuongeza mkataba wa Mchezaji huyo, uliosha mwezi uliopita

Messi aliyeichezea Barca michezo 778 na kufunga magoli 672, kutoa ‘assist’ 305 na kushinda mataji 35, anahusishwa zaidi kuhamia katika klabu ya Manchester City au PSG

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad