Rasmi Messi asajiliwa na PSG na kutambulishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Klabu ya PSG kutoka nchini Ufaransa imefanikiwa kumsajili Lionel Messi mshambuliaji raia wa Argentina akitokea Barcelona kwa mkataba wa miaka mwili.

Messi amejiunga na PSG baada ya juzi kutangaza kuondoka Barclena kutokana na sababu ambazo nyingi zilikuwa nje ya uwezo wake, Messi sasa ataungana na Neymar, ramos, Mbappe Di Maria an wengine.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad