Rayvanny kuchora tattoo ya Paula

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Msanii  kutoka lebo ya wasafi,   Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amesema ikitokea nafasi ya kuchora tattoo atachora ya  mpenzi wake Paula  Kajala.

Rayvanny atoa kauli hiyo wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Big Sunday Live jana baada ya kuonekana amechora tattoo ya lebo yake mpya.

Sababu ya kumtaja Paula ni baada ya kuulizwa maswali hukuhu mzazi mwenzake Fayvanny na mpenzi wake wa sasa  kuwa nani  anampa nafasi kubwa.

Hata hivyo amesema hawezi kuchagua kuwa nani anamkubali zaidi  kutokana na heshima anayowapa wote.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad