Rosa Ree "Niko Tayari Kufanya Collabo na Frida Amani na Chemical Baada ya Mashabiki Kutaka Hilo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inavyoelekea Mashabiki wana kiu kubwa ya kuona Wadada watatu wanashikilia game ya Hip Hop Bongo Wakifanya Collabo

Hivi majuzi Msanii Rosa Ree aliuliza Swali kuwa ni Msanii gani wa kike afanye nae Collabo kutoka Tanzania, Post hiyo Instagram ilipata zaidi ya comments 1700 nyingi zikipendekeza Frida Amani na Chemical, Sasa Rosa Ree ameonekana kuwa na utayari huo kwani baada ya siku tatu alipost picha ya Frida na Chemical kuwa ndio wamependekezwa sana na yupo tayari au labda collabo ishafanywa tayari. 

ROSA aliandika haya:

So nimegundua mnahitaji sanaaaaa kusikia colabo kati yangu na rappers wa kike kutoka hapa Tanzania kwenye album yangu. Basi kama yupo ambaye unamuaminia kabisa na ni wa motooooo comment kwenye hii post Alafu tutafanikisha jambo! LESSSGOOOOOO👇🏽👇🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥

Baada ya siku tatu Rosa_ree aliandika haya kuhusu Frida na Chemical

Itssss about timeeeeeee!!!! Msikie track moja kati ya @fridaamaniofficial @chemical_tz na GODDESSSS! Au mnasemaje???? Mhhh sijui itakuajeeee….. #StayTuned issss gonn be
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad