AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Yusufu Mhilu aliyekuwa kikosi cha kwanza kilikuwa kinashiriki Cecafa Challenge 2021 U 23.
Leo Agosti 4 ametangazwa rasmi kuwa mali ya Simba baada ya kufikia makubaliano na timu ya Simba.
Amepewa dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Didier Gomes.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK