AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtoto wa Muigizaji Mahili Hapa Tanzania Monalisa Anayeitwa (soniamonalisa) Amezungumzia Kuwa Hawezi kuwa Kama Rafiki yake wa Karibu kabisa ( therealpaulahkajala ) Ambaye Ni Mtoto wa Kajalafrida.
"Siwezi Kuishi Kama Paula Mimi na Yeye Tunamalezi Tofauti Kabisa Mimi sijafunzwa Kuishi Hivyo Ila Simsemi kama Amelelewa Vibaya Hapana Tupo Tofauti tuuu kwenye malezi Ila atabaki kuwa Rafiki Yangu Milele Tumetoka Nae Mbali Sana"-Ameongea Sonia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK