Spika Ndugai amtaka Jerry Silaa kuomba radhi kwa umma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema Jerry Silaa lazima aombe radhi kwa Umma kwa kosa alilofanya

Jerry Silaa ambaye ni Mbunge wa Ukonga alikutwa na hatia ya kuongea uongo kuhusu Mishahara ya Wabunge Kutokatwa Kodi


Kamati ya Maadili ya Bunge ilipendekeza Silaa asihudhurie Mikutano Miwili ya Bunge na avuliwe ujumbe wa Bunge la Afrika (PAP)


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad