Staa wa Muziki Ulimwenguni Justin Bieber Amemshukuru Wizkid Kwa Kumpa Collabo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki Ulimwenguni @justinbieber amemshukuru @wizkidayo kwa kumpa nafasi ya kushirikiana nae kwenye wimbo wake wa #Essence Remix ambao unatarajiwa kutoka siku ya leo

Justine Bieber ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiambatanisha na cover ya wimbo huo. Bieber ameandika
"Asante kwa kuniruhusu kushiriki kwenye wimbo wako wa majira ya joto. Essence Remix unatoka usiku wa leo"




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad