AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa muziki Ulimwenguni @justinbieber amemshukuru @wizkidayo kwa kumpa nafasi ya kushirikiana nae kwenye wimbo wake wa #Essence Remix ambao unatarajiwa kutoka siku ya leo
Justine Bieber ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiambatanisha na cover ya wimbo huo. Bieber ameandika
"Asante kwa kuniruhusu kushiriki kwenye wimbo wako wa majira ya joto. Essence Remix unatoka usiku wa leo"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK